Hello UDBS students,
The names and respective code numbers for the names have already been posted around all noticeboard at cafterias.
Make sure you sign early.
Thursday, November 29, 2012
Sunday, November 25, 2012
ARIS PROBLEM HAS NOW RESOLVED
Being a number of weeks having ARIS problm,now u can Register your courses with no problem.https://www.aris2.udsm.ac.tz
Friday, November 23, 2012
"BOOM" TO BE PLACED BEFORE 9TH DECEMBER 2012
This is the official information from the DARUSO Ministry of Loans.
DUMA BONANZA ON THIS SATURDAY,24TH NOVEMBER 2012
On this saturday,24th November 2012.Kuna Bonanza ambalo limeandaliwa na DUMA[Dar es salaam University Marketig Association] Ni event ambayo itakuwa na ushiriki wa michezo mbalimbali:
FOOTBALL[MPIRA WA MIGUU];
KUKIMBIZA KUKU
KUKIMBIA KWENYE GUNIA
Na michezo mingine mingi.
FOOTBALL[MPIRA WA MIGUU];
- AADU Vs DUEA [From 10:00am]
- DUMA Vs DUFA [From 12:00pm]
- Winner match 1 Vs Winner Match 2
KUKIMBIZA KUKU
KUKIMBIA KWENYE GUNIA
Na michezo mingine mingi.
Tuesday, November 13, 2012
Sunday, November 11, 2012
SOED BINGWA WA MASHINDANO YA UDSM VODACOM INTERCOLLEGE LEAGUE BAADA YA KUIFUNGA COET KWA PENATI 5-4
Anza na jukwaa kali kabisa la Vodacom
CHINI:shamrashamra ya ushindi wa SOED
Tizama nyomi ya mtu ndani ya mabibo wengine madirishani wengine uwanjani
CHINI:shamrashamra ya ushindi wa SOED
Le capitain wa UDBS [Shakistar] akiwa na D-Sala [Mmoja ya wasanii wa udbs] hapa chini.
ROMA MKATOLIKI NAE AKAFANYA YAKE BAADA YA FAINALI ZA VITIVO
Saturday, November 10, 2012
Wednesday, November 7, 2012
UDBS Vs SOED TO PLAY HALF FINAL OF VODACOM INTERCOLLEGE LEAGUE ON FRIDAY 9th,NOVEMBER AT CAMPUS GROUND
Attend and give massive support on our Half final match of Vodacom
intercollege Lague on this Friday starting at 16:00 that involvea UDBS[First winner Group B] Vs
SOED [second winner of Group A ].This is the year for UDBS to take the number one in UDSM sports quality.
SOED [second winner of Group A ].This is the year for UDBS to take the number one in UDSM sports quality.
FINANCE DAY 2012
Attend Finace day on this Saturday,10th November 2012.
- Morning Session [09:00 until 12:00]
- Evening Session [At Rombo Green View Hotel]
Sunday, November 4, 2012
UDBS YASHINDA DHIDI YA COET ON SUNDAY 4th NOVEMBER
Thursday, November 1, 2012
UDBS YAFANYA KWELI UDSM INTERCOLLEGE COMPETITION
Timu ya wanafunzi wa Kitivo cha Biashara katika chuo kikuu cha Dar es salaam imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kushinda mechi mbili dhidi ya CONAS [1-0] na UDSL [2-1] na kuifanya kuongoza kundi hilo kwa pointi 6 ikifatiwa na COET na UDSL wenye pointi 1 huku CONAS wakishika mkia wakiwa hawana pointi.Kupitia this official blog ya wanafunzi wa UDBS na nahodha wa timu hiyo Shaki-star alikaririwa akisema "Timu yetu tumejipanga vizuri na kuhakikisha tunacheza ki-team work na kuimarisha nidhamu ndani ya timu,Hili limewezekana kutokana na ushirikiano mkubwa tunaopata toka kwa management ya UDBS kupitia viongozi wake na patroni wa michezo Dr. Francis,Tunaombwa kuhudhuria kwa wingi kwa mashabiki wetu ambao ni wanafunzi wenzetu siku ya Jumamosi Jioni ya tarehe 03-11 pale viwanja vya mabibo hostel tutakapokua tunakipiga na COET".
Subscribe to:
Posts (Atom)